
*Hakuna familia isiyo na mapungufu. Hatuna
wazazi wasio na mapungufu, sisi pia si wakamilifu, hatuoi au kuolewa na
mtu asiye na mapungufu, kadhalika watoto wetu nao si wakamilifu. Tunayo
manung'uniko au malalamiko kila mmoja dhidi ya mwenzake. Tumevunjana
moyo na kukatishana tamaa. Kwa hiyo, hakuna ndoa iliyokamilika wala
familia iliyoboreka bila kuwa na mazoea au utamaduni...