
FAIDA ZA TIKITI MAJI.
Tikiti maji ni tunda ambalo
kisayansi hujulikana kama Citrullus
lanatus katika familia ya
Cucurbitaceae, ambalo mmea wake hutoa maua na humea kwa kutambaa. Mmea huu
ambao hutoa matunda makubwa yaliyo na umbo la tufe au yai, asili yake ni huko
kusini mwa Afrika.
Ushahidi wa kihistoria ulionyesha
kuwa mmea huu ulilimwa huko Misri tangu milenia ya pili...