ManSillah

TARUMBETA

Waungwana blogspot spousoured by Tarumbeta.

Monday, 12 December 2016

KWA NINI WATOTO HUPOTEZA HAMU YA KULA?

KWA NINI WATOTO HUPOTEZA HAMU YA KULA? Kukosa hamu ya kula ni tatizo la kawaida kwa watoto ambalo hupelekea wazazi wengi kuwa  na wasiwasi juu ya afya ya watoto wao.Kuna sababu nyingi zinazoweza kusababisha  kukosa hamu ya kula na tatizo hili linapojitokeza tunatakiwa kuwa watulivu na kujaribu kuchunguza kwa makini ni kwa nini mtoto anakosa hamu ya kula....

FAIDA ZA TIKITI MAJI.

FAIDA ZA TIKITI MAJI. Tikiti maji ni tunda ambalo kisayansi hujulikana kama Citrullus lanatus katika familia ya Cucurbitaceae, ambalo mmea wake hutoa maua na humea kwa kutambaa. Mmea huu ambao hutoa matunda makubwa yaliyo na umbo la tufe au yai, asili yake ni huko kusini mwa Afrika. Ushahidi wa kihistoria ulionyesha kuwa mmea huu ulilimwa huko Misri tangu milenia...