ManSillah

TARUMBETA

Waungwana blogspot spousoured by Tarumbeta.

Monday, 25 December 2017

ORODHA YA MUVI MPYA ZITAKAZOTOKA 2018

                       BOFYA HAPA KUANGAL...

Saturday, 15 July 2017

ANGALIA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2016/17

BOFYA HAPA KUANGA...

Wednesday, 24 May 2017

TANGAZO KWA VIJANA WALIOHITIMU KIDATOCHA SITA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUZO YA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA MWAKA 2017

BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA MAJINA YA VIJANA NA MAKAMBI WALIYOPANGIWA ...

Tuesday, 23 May 2017

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UDAHILI WA WANAFUNZI WA ASTASHAHADA NA STASHADA KATIKA PROGRAMU MBALIMBALI KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UDAHILI WA WANAFUNZI WA ASTASHAHADA NA STASHADA KATIKA PROGRAMU MBALIMBALI KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2...

Wednesday, 17 May 2017

SIMULIZI YA KWELI

HUWA YANATOKEA Kwa jiji la Dar es Salaam, kuanzia majira ya saa kumi alasiri hadi kufikia kumi na mbili magharibi, usafiri hugeuka bidhaa adimu; daladala hazipatikani kwa wepesi, na zikipatikana ni nadra kama si muhali kabisa kupata nafasi ya kuketi; na ikitokea muujiza ukapata nafasi, joto kali pamoja na hewa hafifu, hukufanya utamani kushuka na kutembea kwa miguu. Hiyo...

Tuesday, 25 April 2017

FAIDA ZA TIKITI MAJI MWILINI

FAIDA ZA TIKITI MAJI. Tikiti maji ni tunda ambalo kisayansi hujulikana kama Citrullus lanatus katika familia ya Cucurbitaceae, ambalo mmea wake hutoa maua na humea kwa kutambaa. Mmea huu ambao hutoa matunda makubwa yaliyo na umbo la tufe au yai, asili yake ni huko kusini mwa Afrika. Ushahidi wa kihistoria ulionyesha kuwa mmea huu ulilimwa huko Misri tangu milenia ya pili...

Tuesday, 4 April 2017

2017 Movies • New & Upcoming 2017 Releases

 2017 Movies • New & Upcoming 2017 Releases...

Wednesday, 22 March 2017

NEW GAMES Release dates every game confirmed for 2017

Release dates: every game confirmed for 2017&nb...

Sunday, 5 March 2017

MAZOEZI 5 MEPESI AMBAYO YANAWEZA KUBADILI MUONEKANO WAKO

Mazoezi ni jambo muhimu sana kwa maisha ya wanaadamu wote katika k ulinda afya za miili yao, watu wengi wamekuwa wakihangaika kufanya mazoezi kwa kuondokana na matatizo tofauti tofauti, wengine huenda wameshauriwa na Daktari kutokana na aina ya ugonjwa unaowasumbua na wengine hutaka kupunguza miili yao ili iwe katika muonekano mzuri na wengine wanataka kuilinda miili...

Wednesday, 22 February 2017

Tcu: Orodha ya Vyuo na Majina ya wanafunzi waliokosa sifa za kupewa nafasi za vyuo Tanzania 2016/2017

  Bonyeza Uhakiki wa Sifa za Udahili...

Sunday, 19 February 2017

AUDIO MPYA: NISHIKE MKONO kutoka kwa DAVID NYIGU | Download hapa

  Anafahamika kwa jina la DAVID NYIGU,ambaye anatamba kwa wimbo wake uitwao NISHIKE MKONO.. Ni wimbo mzuri kwa kweli na unao bariki sana.. Mwimbaji huyu anatokea Njombe ila kwa sasa anaishi  Mbeya....  Kazi ya muziki imefanywa na Danie Mwasiposya... Mtumishi huyu yuko tayari kwa huduma,unaweza kuwasiliana nae kwa simu namba +255767473655 BOFYA...

Tuesday, 31 January 2017

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2016

BOFYA HAPA KUANGALIA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2...

Saturday, 21 January 2017

HUYU SI MWANAMKE WA KUACHA

Mwanamke ambaye anakuwa na wasiwasi juu yako, anawaza kwaajili yako, hulia kwaajili yako, anajali hisia zako, hujishusha kwaajili yako na huweza kukuomba msamaha hata kama ni wewe umekosea ili tu kuleta amani si mwanamke wa kuacha. Nimara chache sana kukutana na mwanamke kama huyu ambaye anaweza kujitoa kwaajili yako na kukuvumilia kwa wakati mgumu sana kwako. Wengi...

Wednesday, 18 January 2017

*UJUMBE MZURI KWA FAMILIA

*Hakuna familia isiyo na mapungufu. Hatuna wazazi wasio na mapungufu, sisi pia si wakamilifu, hatuoi au kuolewa na mtu asiye na mapungufu, kadhalika watoto wetu nao si wakamilifu. Tunayo manung'uniko au malalamiko kila mmoja dhidi ya mwenzake. Tumevunjana moyo na kukatishana tamaa. Kwa hiyo, hakuna ndoa iliyokamilika wala familia iliyoboreka bila kuwa na mazoea au utamaduni...

Tuesday, 17 January 2017

MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2016?17

BOFYA HAPA KUANGAL...

Friday, 6 January 2017

KUTOKA JESHI LA POLICE:

KUTOKA JESHI LA POLICE: USALAMA WA MAISHA YAKO. * Usinunue simu za Android kwa mtu usiyemjua. Hiyo ni hatari kwani hujui huyo jamaa kaitoa wapi, mwisho wa siku unapewa kesi ya wizi au mauaji. Inawezekana simu hiyo iliibiwa kwa mtu aliyeuawa. * Usimpe mtu usiyemjua simu yako apige sehemu yoyote. * Unapoiona line njiani ipo chini, usitake kuiokota na kuiweka simuni...