ManSillah

TARUMBETA

Waungwana blogspot spousoured by Tarumbeta.

Friday, 25 November 2016

NAMNA WAZAZI WA NAVYOONGEA NA MABINTI ZAO KATIKA UMRI TOFAUTI!

NAMNA WAZAZI WA NAVYOONGEA NA MABINTI ZAO KATIKA UMRI TOFAUTI! Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya. Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena! Miaka 23: Lini utatuletea mchumba wako? Miaka 26: Wenzio wanaolewa. Miaka 30: Tumekuambia kwamba acha kuchagua sana wanaume, hutaki kusikia! Miaka 33: Kuna mtu wa Mungu yupo kule anaombea unaweza kupata mchumba Miaka 36: At...

Tuesday, 22 November 2016

USHAURI KWA VIJANA

Ujumbe wa Leo:  1WaKorintho7:1-2 “Basi kwa habari ya mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke. Lakini kwa sababu ya ZINAA kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe …..” TAFAKARI:   [Kwa Vijana na Wazee walio washauri wa Vijana] 1.    Ninahitaji kuoa lakini Maisha ni Magumu nifanyeje? Ushauri: Ugumu wa maisha ni wimbo wa Taifa, unajua ni lini maisha yatakuwa Rahisi. Kuna mithali isemayo...
ni zao linalopendelea hali ya hewa ya joto na husitawi vema kati ya nyuzi joto 18°C hadi 35°C Udongo Hustawi vizuri katika udongo tifutifu wenye rutuba usiotuamisha maji Maandalizi ya shamba Lima shamba kwa trekta, kwa ng’ombe ama kwa jembe la mkono kwa kina cha sentimita 30 hadi 45 Weka matuta ya mwinuko yenye upana wa mita 1 hadi 1.5 kutoka kati ya tuta na tuta Upandaji Zipo aina mbili za upandaji, 1.ya kwanza ni ile ya kupanda mbegu moja...

Sunday, 20 November 2016

RAIS DKT MAGUFULI AMTEUA BW. CHARLES E. KICHERE KUWA NAIBU KAMISHNA MKUU WA TRA

...

Saturday, 12 November 2016

ZISOME HIZI KUIMARISHA MAHUSIANO YAKO NA MWENZA WAKO

Watu Wengi Ambao Wako Kwenye Uhusiano Wanalalamika Kuwa Wenzi Wao Hawawaoneshi Upendo Kama Ilivyokuwa Siku Za Mwanzo Za Uhusiano Wao. Wanaeleza Kuwa Wanaona Uhusiano Wao Unalegalega Na Mapenzi Yanapungua Taratibu Kama Barafu Iyeyukavyo Juani. Ili Kuepuka Yote Haya, Hauna Budi Kujifunza Njia Za Kuwasha Upya Moto Wa Upendo Kila Wakati Kwa Kuongeza Ukaribu (Intimacy) Kati...

KILIMO CHA VIAZI MVIRINGO

UTANGULIZI Viazi mviringo ni zao muhimu la chakula na biashara katika nchi nyingi zilizoendelea na zinazoendelea. Viazi husitawi vizuri sehemu za miinuko, kati ya meta 1300 na 2700 juu ya usawa wa bahari. Hukomaa katika kipindi cha miezi mitatu hadi mitano. Viazi mviringo vina asilimia kubwa ya chakula chenye asili ya wanga. Pia vina kiasi cha kutosha cha protini, madini,...

Friday, 11 November 2016

SERIKALI YAAGIZA WANAFUNZI WALIOHITIMU KIDATO CHA SITA AMBAO HAWAJIUNGA JKT KUJIUNGA DESEMBA MWAKA HUU

Serikali amewaagiza wote waliohitimu kidato cha sita Mei mwaka huu na ambao hawajajiunga na vyuo vya elimu ya juu, wakaripoti katika kambi za Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Desemba Mosi, mwaka huu. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi ametoa agizo hilo mjini Dodoma alipozungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Habari wa Bunge. Dk ...

Batch 6 Allocations for the 2016-2017 SUA continuing students receiving loan from HESLB

  click here to v...