Home »
» BUNGE LA TANZANIA LAPITISHA MUSWADA WA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI (THE MEDIA SERVICES BILL, 2016)
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limepitisha Muswada wa sheria ya huduma za habari
(The Media Services Bill, 2016)
tayari kusainiwa na rais ili kuwa sheria kamili.
Muswada huo uliwasilishwa bungeni jana
mjini Dodoma na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape
Nnauye kisha wabunge wakaanza kuujadili. Muswada wa sheria ya huduma za
habari wa mwaka 2016 umejadiliwa kwa siku mbili.
Jana Rais Magufuli wakati akifanya
mahojiano na wahariri wa vyombo vya habari alisema ukifika mezani kwake
hautafikisha dakika bila kusainiwa.
Related Posts:
NASAHA ZA BABA MWENYE BUSARA
NASAHA ZA BABA MWENYE BUSARA
1. Mwanangu, mwanamke anaweza kuwa mkeo, mwingine anaweza kuwa mama wa watoto wako, lakini ukipata mwanamke ambae atakuwa kama mama kwako, mama kwa wanao na mama kwa familia, tafadhali mwanang… Read More
Bodi ya mikopo ya elimu ya juu wametangaza majina ZAIDI YA 20000 ya wanafunzi waliopata mkopo 2016/2017
bonyeza hapa kuangalia… Read More
HESLB yafafanua vigezo utoaji mikopo, Waliokosa sababu zatajwa, wapewa nafasi ya kukata rufaa
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo Bw. Abdul-Razaq Badru
akifafanua jambo katika mkutano na wanahabari jijini Dar es Salaam leo
(Jumapili, Oktoba 30, 2016). Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na Mawasilian… Read More
MPYA:HAYA HAPA MAJINA MAPYA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO CHUO KIKUU SUA 2016/2017
Bonyeza Hapa kuangalia… Read More
Basi likitokea Dodoma lagongana na Lori; magari yateketea kwa moto
Basi la Kampuni ya Safari njema lililokuwa likitokea Dodoma
kuelekea Dar es Salama. Limegongana na Lori katika eneo la Kimara
Stopover.
Kuna ajali mbaya
sana imetokea hapa eneo la Suca Mbe… Read More
0 comments:
Post a Comment