
Bodi
ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza siku 90
kuanzia leo (Jumatatu, Oktoba 31, 2016) kwa waombaji wa mikopo kwa mwaka
wa masomo 2016/2017 kukata rufaa kwa njia ya mtandao ikiwa
hawajaridhsihwa na matokeo ya upangaji uliotangazwa hivi karibuni.
Serikali
imetenga Tshs 483 bilioni kwa ajili ya kutoa mikopo kwa jumla wanafunzi
119,012 –...