ManSillah

TARUMBETA

Waungwana blogspot spousoured by Tarumbeta.

Monday, 31 October 2016

Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Yatoa Siku 90 Kwa Waliokosa Mikopo Kukata Rufaa

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza siku 90 kuanzia leo (Jumatatu, Oktoba 31, 2016) kwa waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2016/2017 kukata rufaa kwa njia ya mtandao ikiwa hawajaridhsihwa na matokeo ya upangaji uliotangazwa hivi karibuni. Serikali imetenga Tshs 483 bilioni kwa ajili ya kutoa mikopo kwa jumla wanafunzi 119,012 –...

HESLB:APPEALS AGAINST MEANS TEST RESULTS FOR 2016/2017

The Higher Education Students’ Loans Board (HESLB) is hereby informing all loan applicants that the appeals window will be open for 90-days starting from 31st October, 2016. All Appellants should follow the below procedure: - (i) You must complete the relevant Online Appeal Forms, make a printout of the same and attach thereto the necessary supporting documents. ...

MAJINA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO CHUO KIKUU MZUMBE 2016/17

Bonyeza hapa kuanga...

MPYA:HAYA HAPA MAJINA MAPYA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO CHUO KIKUU SUA 2016/2017

Bonyeza Hapa kuanga...

Sunday, 30 October 2016

Basi likitokea Dodoma lagongana na Lori; magari yateketea kwa moto

Basi la Kampuni ya Safari njema lililokuwa likitokea Dodoma kuelekea Dar es Salama. Limegongana na Lori katika eneo la Kimara Stopover. Kuna ajali mbaya sana imetokea hapa eneo la Suca Mbele kidogo ya stop over ikihusisha lori na Basi T 990 ADF liitwalo Safari njema linalofanya safari zake kati ya Dar na Dodoma linaungua. SASA hivi yanaungua...

Bodi ya mikopo ya elimu ya juu wametangaza majina ZAIDI YA 20000 ya wanafunzi waliopata mkopo 2016/2017

bonyeza hapa kuanga...

HESLB yafafanua vigezo utoaji mikopo, Waliokosa sababu zatajwa, wapewa nafasi ya kukata rufaa

Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo Bw. Abdul-Razaq Badru akifafanua jambo katika mkutano na wanahabari jijini Dar es Salaam leo (Jumapili, Oktoba 30, 2016). Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Bodi hiyo Bw. Cosmas Mwaisobwa. Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa ufafanuzi kuhusu vigezo inavyotumia katika kuchambua,...

NASAHA ZA BABA MWENYE BUSARA

NASAHA ZA BABA MWENYE BUSARA 1. Mwanangu, mwanamke anaweza kuwa mkeo, mwingine anaweza kuwa mama wa watoto wako, lakini ukipata mwanamke ambae atakuwa kama mama kwako, mama kwa wanao na mama kwa familia, tafadhali mwanangu usimuache huyo! 2. Mwanangu, usimfanye mwanamke wako kuwa ndio wa kupika na kufanya kazi zote za jikoni peke yake, tabia hiyo sio nzuri Kwani hata...

Bodi ya mikopo kufanya uhakiki wa wanafunzi

Bodi ya Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu(HESLB) imesema itaanza uhakiki wa taarifa za wanafunzi wanufaika wanaoendelea na masomo ili kujiridhisha kama wanasifa sitahiki na ambao watakuta hawana sifa watasitishiwa mkopo. Kwa ufupi Mkurugenzi wa mtendaji wa HESLB, Abdul­ Razaq Badru amesema zoezi hilo litaanza Jumanne na wanafunzi wote watatakiwa kujaza dodoso...

Saturday, 29 October 2016

RAIS MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA MKURUGENZI WA MAKOSA YA JINAI TANZANIA

...

ANGALIA HAPA MATOKEO YA MTIHANI DARASA LA SABA 2016

Serikali imetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la 7 kwa mwaka 2016 ambapo ufaulu umeongezeka kwa asilimia 2.52 na shule iliyoongoza kitaifa ni shule ya msingi Kwema ya mkoani Shinyanga. Ufaulu wa mtihani wa Darasa la Saba umeongezeka kwa asilimia 2.52 kutoka asilimia 67.84 mwaka 2015 hadi kufikia asilimia 70.36 mwaka 2016. Katibu Mtendaji wa Baraza...

RAIS MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII

Rais Dkt John Pombe Magufuli akimpongeza kwa kazi nzuri Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Meja Jenerali Gaudence Milanzi baada ya kukagua pembe za ndovu 50 zilizokamatwa katika operesheni maalum ya kusaka majangili alipofanya ziara ya kushtukiza makao makuu ya Wizara ya Maliasili na Utalii (MPINGO HOUSE) jijini Dar es salaam leo Oktoba 29, 2016....

Friday, 28 October 2016

MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA CHUO KIKUU UDOM BATCH 3 &4 2016/2017

SELECTED CANDIDATES TO JOIN VARIOUS UNDERGRADUATE DEGREE PROGRAM...

MAJINA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO CHUO KIKUU SAUT 2016/2017,BOOM LARUDISHWA 8500 KWA SIKU

  bonyeza hapa kuanga...

MAJINA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO CHUO KIKUU UDOM 2016/2017

  bonyeza hapa kuangali...

Wednesday, 26 October 2016

New Audio | Alikiba – Risabela (Official) | Mp3 Download

click here to downl...

Monday, 24 October 2016

Audio | Q-boy ft Rayvanny & Shetta – MUGACHERERE | Mp3 Download

Audio | Q-boy ft Rayvanny & Shetta – MUGACHERERE | Mp3 Download  Bonyeza hapa kudownload&nbs...

MP4 VIDEO | Qboy Ft. Rayvanny & Shetta – MUGACHERERE | Download

BONYEZA HAPA KUDOWNLO...

LIPUMBA AWATAKA CHADEMA KUTOINGILIA MGOGORO WA CUF

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba,  amewataka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutoingilia mgogoro uliopo ndani ya chama hicho kwa sababu hauwahusu. Kauli hiyo aliitoa jana jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na wanachama wa chama hicho katika kikao cha ndani, kilichofanyika Wilaya ya Kinondoni...

Sunday, 23 October 2016

TCU inautangazia Umma kuwa itafungua Mfumo (CAS) kwa siku tatu tu, kuanzia Jumatatu tarehe 24 hadi Jumatano tare he 26 Oktoba 201

  TAARIFA KWA UMMA Tume ya vyuo Vikuu Tanzania (TCU) inautangazia Umma kuwa baada ya kukamilisha mchakato wa maombi ya waombaji wa vyuo vikuu, vyuo Vikuu Vishiriki na Taasis i za elimu ya juu kwa awamu ya K wanza , ya Pili n a ya T atu, na matokeo ya waombaji wote waliofanikiwa kupata nafasi vyuoni kukamilika, Tume ya vyuo Vikuu imebaini kuwa...

WANAFUNZI FORM SIX WALIOPATA MKOPO CHUO KIKUU KCMC 2016/2017-BATCH 2

 WANAFUNZI FORM SIX WALIOPATA MKOPO CHUO KIKUU KCMC 2016/2017-BATCH 2 WANAFUNZI FORM SIX WALIOPATA MKOPO CHUO KIKUU KCMC 2016/2017-BATCH...

VYUO VILIVYOTOA MAJINA YA WANUFAIKA WA MKOPO 2016/2017-AWAMU 1 & 2

 VYUO VILIVYOTOA MAJINA YA WANUFAIKA WA MKOPO 2016/2017-AWAMU 1 & 2 CHUO KIKUU KCMC  CHUO CHA MAJI DSM   CHUO KIKUU MUHAS   CHUO KIKUU SUA   CHUO KIKUU MUCE  CHUO KIKUU DUCE   CHUO KIKUU UDSM   &nb...

Bodi ya Mikopo Ya Elimu Ya Juu Zanzibar Yasitisha Kutoa Mikopo Kwa Wanafunzi Vyuo Vikuu

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein ameiagiza Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, kusimamisha utoaji wa mikopo ya elimu ya juu, hadi hapo serikali itakapojiridhisha na utaratibu mzima wa utoaji wa mikopo hiyo. “Hatutatoa mikopo mwaka huu mpaka hapo tutakapokamilisha...

Thursday, 20 October 2016

MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU SEKOMU AWAMU YA TATU

              Bonyeza Hapa Kuanga...

HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI 1204 WALIOPATA MKOPO CHUO KIKUU SUA 2016/2017

 HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI 1204 WALIOPATA MKOPO CHUO KIKUU SUA 2016/2017                     bonyeza hapa kuanga...

Selected bachelor students to join Mozambique-Tanzania Centre for Foreign Relations (CFR)-2016/2017

Sellected Candidates for 2016/2017 Academic ye...

Wednesday, 19 October 2016

MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU AJUCO SONGEA 2016/2017 AWAMU YA TATU

MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU AJUCO SONGEA 2016/2017 AWAMU YA TATU                 BONYEZA HAPA KUANGALIA...

Tuesday, 18 October 2016

HII HAPA LIST YA VYUO VILIVYOTOA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA SECOND ROUND VYUO VIKUU MBALIMBALI 2016/2017

HII HAPA LIST YA VYUO VILIVYOTOA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA SECOND ROUND VYUO VIKUU MBALIMBALI 2016/2017    ARCHBISHOP JOSEPH COLLEGE SAUT-SONGEA (AJUCO )2016/2017 CHUO KIKUU MWEKA 2016/2017   CHUO KIKUU MUM-MOROGORO DEGREE/SHAHADA AWAMU YA PILI 2016/2017  CHUO KIKUU KAMPALA UNIVERSITY-KIU 2016/2017  CHUO KIKUU SAUT-AMUCTA TABORA...

Monday, 17 October 2016

New AUDIO | RAYVAN & NEY LEE - RUDI | Download

download h...

Sunday, 16 October 2016

TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA KUJENGA TAIFA JKT LEO TAREHE 17.10.2016

  TAARIFA KWA UMMA Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) linapenda kuutaarifu umma juu ya utapeli unaoendelea kufanywa na baadhi ya watu wanaojifanya wanauwezo wa kuwaingiza vijana wa kitanzania kwenye mafunzo ya JKT kwa lengo la kupatiwa malipo. Utapeli huo unafanyika kwa njia ya simu za mkononi kwa kutuma ujumbe mfupi wa maneno tofauti tofauti. Jeshi la Kujenga...

Saturday, 15 October 2016

Mwana Samatta kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora ya Shirikisho la Soka la Afrika (CAF).

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayecheza soka la kulipwa katika klabu ya GENK ya nchini Ubelgiji ametajwa miongoni mwa wachezaji 30 wanaowani Tuzo ya Mchezaji Bora ya Shirikisho la Soka la Afrika (CAF). Wachezaji wengine ni pamoja na Mkenya Victor Wanyama anayecheza ligi kuu ya Uingereza katika klabu ya Tottenham Hotspur, Denis Onyango kutoka Uganda anayekipiga...

New AUDIO | Salamu TMK - Dada | Download

                                   Salamu TMK - Dada                                           Download...

BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI YAHAMIA OFISI MPYA

HIGHER EDUCATION STUDENTS’ LOANS BOARD TUNAHAMA Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inawajulisha wadau wake wote kuwa Ofisi yake ya Makao Makuu inahama kutoka Jengo la TIRDO, Barabara ya Kimweri, Msasani kwenda Kiwanja Na.. 8, Kitalu Na. 46, Barabara ya Sam Nujoma, Mwenge, Dar es Salaam kufikia Juni 30, 2013. Katika kipindi cha kuhama, Bodi itahakikisha huduma...

SERIKALI YATANGAZA KIMA CHA CHINI MISHAHARA YA KISEKTA

Serikali imetangaza viwango vipya vya chini vya mishahara kisekta ambavyo vinatofautiana kati ya sekta moja na nyingine ambavyo ni kuanzia Sh40,000 hadi Sh400,000 kwa mwezi kuanzia Julai Mosi mwaka huu. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira, Ridhiwani Wema, watakaolipwa kima kidogo zaidi cha Sh40,000 ni wafanyakazi wa nyumbani ambao wameajiriwa na watu wa kawaida huku wakiishi kwenye nyumba za waajiri wao. Kwa...

BODI YA MIKOPO IMETANGAZA MAJINA 7904 YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO 2016/2017

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), imetangaza awamu ya kwanza ya majina ya wanafunzi wanaotarajiwa kujiunga na vyuo vya elimu ya juu nchini watakaopewa mkopo kugharimia masomo yao.   Idadi ya wanafunzi ambao tayari wamepitishwa kupata mkopo ni 7,904, hata hiyo imeelezwa kiwango hicho kitaendelea kubadilika kwa kuwa mchakato unaendelea....