Kuna ajali mbaya
sana imetokea hapa eneo la Suca Mbele kidogo ya stop over ikihusisha
lori na Basi T 990 ADF liitwalo Safari njema linalofanya safari zake
kati ya Dar na Dodoma linaungua. SASA hivi yanaungua na watu waliokuwemo
ndani.
Sunday, 30 October 2016
Home »
» Basi likitokea Dodoma lagongana na Lori; magari yateketea kwa moto
Basi likitokea Dodoma lagongana na Lori; magari yateketea kwa moto
Related Posts:
Tanzania Commission for Universities PUBLIC NOTICE … Read More
BODI YA MIKOPO IMETANGAZA VIGEZO VYA UTOAJI MIKOPO YA ELIMU YA JUU KWA 2016-2017 Serikali kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, imekuwa ikiwakopesha wanafunzi wenye sifa za kujiunga na vyuo vya elimu ya juu nchini kugharimia masomo yao. Kusoma vigezo vya utoaji mikopo kw… Read More
TCU WAMEFUNGUA MFUMO WA UDAHILI (TCU CAS) KWA AWAMU YA TATU BONYEZA hapa … Read More
JINSI YA KUHAMA CHUO ULICHOPANGIWA KWENDA CHUO KINGINE 2016/2017 Habari zenu, Kumekuwa na sintofahamu kuhusu utaratibu wa kuhama chuo kwa wanafunzi waliochaguliwa vyuo vikuu mwaka wa masomo 2016/2017. JINSI YA KUHAMA CHUO Endapo unahitaji kuhama chuo ulichochaguliwa kw… Read More
Procedure s for Inter - University Transfers in 2016/2017 Academic Year Thepast experience has shown that management of inter - university transfers has been a challenging and time consuming task. For exa mple, in the last … Read More
0 comments:
Post a Comment